Sunday, October 21, 2012

SEMINA ZILIFANYIKA KWA MAFANIKIO MAKUBWA

Habari za leo wewe unaesoma blog hii,natumaini ni mzima wa afya njema,nami pia ni mzima wa faya njema namshukuru mungu naendelea vizuri ,nimemaliza wiki nikiwa sijameza hata panadol kwa kweli ni jambo la kumshukuru mungu.

Na jambo moja tu la kuwashirikisha kuhusu mafanikio ya semina zangu nilizozifanya mkoani mororgoro  mashuleni na makanisani...Semina zilikuwa zinawahusu wanafunzi wa form four  ,nilizifanya katika shule mbili Sekwao na Giro Secondary na ya Sekwao Secondray zilifanyika kwa mafanikio makubwa na nimepokea simu nyingi kutoka kwa wanafunzi wakinishukuru kwa yale niliyokuwa nawafundisha yamewasaidia sana katika mitihini yao hii waliyoifanya na mimi nasema ahsanteni sana.






nikiseminisha
shule yoyote huwa haikosi masela,masela nao walikuwepo..washikaji
mwisho wa semina..pamoja sana tutakutana mkiwa advance
kama kawaida kanisani watu lazima wamsifu bwana,tukicheza utamu wa yesu ya rose mhando
Pia nilifanya semina katika kanisa la anglicana ,semina iliyohusu namna ya kumkuza mtoto kiroho,semina ilifanyika kwa mafanikio makubwa wazazi pia wamekuwa wakiniomba nikipata muda nikafanye semina nyingine tena maana walibarikiwa sana,ninawahaidi nitafanya hivyo pale nitakapopata muda
semina katika kanisa la anglicana
 

 

 


Share:

KUHUSU MMILIKI WA BLOG HII

My photo
Naitwa faraja Mmasa a.k.a Moa,Mkazi na mzaliwa wa Wilaya ya Gairo Morogoro.KARIBU KATIKA BLOG hii tuelimishane mambo mbalimbali.Inatupasa kuwa na ufahamu wa mambo mbalimbali ili tuweze kuyatawala Mazingira yetu .Kuwa na Mwanasheria au Mhasibu haimanishi unatikiwa kujua au kufuatilia maswala ya uhasibu na sheria tu.Mfano nyumba yako au ndoa yako hutaindesha kwa taaluma uliyonayo.Vile vile huwezi kuendesha ujasiliamali kwa mafanikio kwa shahada yako ya uhandisi.TUNAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA

UJUMBE WA LEO

MIUJIZA MINGI INAYOTOKEA KATIKA MAISHA IPO KATIKA MAWAZO,FIKRA,NA IMANI ALIYONAYO MWANADAMU HUSIKA

USIKOSE KIPINDI HOT JIJINI POWER CLUB ,SIBUKA REDIO 94.5 KILA SIKU SAA SABA MPAKA SAA KUMI

USIKOSE KIPINDI HOT JIJINI POWER CLUB ,SIBUKA REDIO 94.5 KILA SIKU SAA SABA MPAKA SAA KUMI

GAR AD2

GAR AD2

GARI ADVERT

GARI ADVERT

Castrol

Castrol
Powered by Blogger.