Friday, April 11, 2014

HAKUNA MWANADAMU ALIYE MASKINI KABISA AKAKOSA KUWASAIDIA WENGINE

Siku moja mtu mmoja alimuuliza Buddha,” kwanini mimi ni maskini sana?”
Buddha akamjibu “ kwasababu hujajifunza kutoa”
Yule mtu akamjibu” mimi maskini sina kitu chochote cha kutoa msaada?”
Buddha akamjibu “ unavyo vitu vichache vya kutoa”

Uso: ambao unaweza kumpa mtu tabasamu
Mdomo; kwa ajili ya kuwapa watu maneno ya kuwafariji
Moyo :kuwa mwema kwa watu kwa kuwaonyesha upendo
Macho:kuwaangalia watu kwa uzuri
Mwili:ambao unaweza kuutumia kusaidia wengine

Buddha mwisho akamwambia hakuna mwanadamu aliye maskini kabisa akakosa kuwasaidia wengine “poverty of spirit is the real poverty”
Share:

KUHUSU MMILIKI WA BLOG HII

My photo
Naitwa faraja Mmasa a.k.a Moa,Mkazi na mzaliwa wa Wilaya ya Gairo Morogoro.KARIBU KATIKA BLOG hii tuelimishane mambo mbalimbali.Inatupasa kuwa na ufahamu wa mambo mbalimbali ili tuweze kuyatawala Mazingira yetu .Kuwa na Mwanasheria au Mhasibu haimanishi unatikiwa kujua au kufuatilia maswala ya uhasibu na sheria tu.Mfano nyumba yako au ndoa yako hutaindesha kwa taaluma uliyonayo.Vile vile huwezi kuendesha ujasiliamali kwa mafanikio kwa shahada yako ya uhandisi.TUNAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA

UJUMBE WA LEO

MIUJIZA MINGI INAYOTOKEA KATIKA MAISHA IPO KATIKA MAWAZO,FIKRA,NA IMANI ALIYONAYO MWANADAMU HUSIKA

USIKOSE KIPINDI HOT JIJINI POWER CLUB ,SIBUKA REDIO 94.5 KILA SIKU SAA SABA MPAKA SAA KUMI

USIKOSE KIPINDI HOT JIJINI POWER CLUB ,SIBUKA REDIO 94.5 KILA SIKU SAA SABA MPAKA SAA KUMI

GAR AD2

GAR AD2

GARI ADVERT

GARI ADVERT

Castrol

Castrol
Powered by Blogger.