Wednesday, February 26, 2014

KUWA NA UTU NI KITU CHA MUHIMU KATIKA MAISHA YETU YA KILA SIKU

Picha hii inamwonyesha binti mdogo wa kisudani akiwa ananyemelewa na ndege mla nyama aina ya tai.


Binti huyu alianguka njianibaada ya kushindwa kuhimili njaa kali iliyokiwa imembana na alikuwa akielekea katika kituo cha msaada wa chakula.Tai huyo mla nyama za
viumbe hai alimla mtoto huyo na ndio ukawa mwisho wa uhai wake uliomkuta akiwa njiani kuelekea kuokoa uhai wake.

Picha hii ilipigwa namwandishi wa habari aitwaye Kevin Carter na Kwa mara ya kwanza ilichapishwa kwenye
gazeti tarehe 26 Marchmwaka 1993. Pia na kupitia picha hii Carter alishinda tuzo ya Pulitzer Prize mwaka 1994. Miezi michache baada ya kuchukua zawadi ya Pulitzer, Carter alikutwa akiwa amejiua kwa
kuumia kwa kitendo chakinyama alichokifanya nawatu wengi nchini Afrika yakusini walimlaumu kwa picha hiyo.


Carter alikimbilia kuichukuapicha na kusahau kuwapamoja na yeye kuwamwanahabari lakini pia
alikiwa na jukumu la kuokoauhai wa binti huyu namwishoni kuacha mtoto aliwe huku yeye akishuhudia

Ndugu zangu, pamoja na kazi zetu tufanyazo tunatakiwa kufikia kipindi na kuwa na roho za utu na kuheshimu na kuwapenda binadamu wenzetu.
Kila unyama mtu unaoufanya sasa kwa binadamu mwenzako kumbuka mateso yake ni kukosa amani na mwishowe hata kujikuta ukiyachukua maamuzi kama ya Carter.
Hebu kumbuka katika maisha yako umefanya mangapi kwa makusudi na kuhatarisha maisha ya mwenzako?

Je unatambua kuwa kilabinadamu ana haki ya kuishina wewe ukiwa mmoja wapo
na kusaidia mwenzako aishi?Mungu atupe mioyo yaupendo na kuwajali wenzetu

tukiamini ya kuwa tunafuraha hivi kwa kuwa tunawaona binadamu wenzetu na kama wasipokuwepo kuna uwezekano mkubwa wa kuwa maisha yetu hayana maana.
Share:

0 comments:

Post a Comment

KUHUSU MMILIKI WA BLOG HII

My photo
Naitwa faraja Mmasa a.k.a Moa,Mkazi na mzaliwa wa Wilaya ya Gairo Morogoro.KARIBU KATIKA BLOG hii tuelimishane mambo mbalimbali.Inatupasa kuwa na ufahamu wa mambo mbalimbali ili tuweze kuyatawala Mazingira yetu .Kuwa na Mwanasheria au Mhasibu haimanishi unatikiwa kujua au kufuatilia maswala ya uhasibu na sheria tu.Mfano nyumba yako au ndoa yako hutaindesha kwa taaluma uliyonayo.Vile vile huwezi kuendesha ujasiliamali kwa mafanikio kwa shahada yako ya uhandisi.TUNAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA

UJUMBE WA LEO

MIUJIZA MINGI INAYOTOKEA KATIKA MAISHA IPO KATIKA MAWAZO,FIKRA,NA IMANI ALIYONAYO MWANADAMU HUSIKA

USIKOSE KIPINDI HOT JIJINI POWER CLUB ,SIBUKA REDIO 94.5 KILA SIKU SAA SABA MPAKA SAA KUMI

USIKOSE KIPINDI HOT JIJINI POWER CLUB ,SIBUKA REDIO 94.5 KILA SIKU SAA SABA MPAKA SAA KUMI

GAR AD2

GAR AD2

GARI ADVERT

GARI ADVERT

Castrol

Castrol
Powered by Blogger.