Monday, August 19, 2013

BARCELONA YATOA KIPIGO CHA PAKA MWIZI, YAIGONGA LEVANTE 7-0




Wachezaji wa Barcelona wakishangilia bao lao la kwanza lililofungwa na Alexis Sanchez dakika ya tatu.

Lionel Messi kama kawaida yake katupia mbili katika mechi ya leo.

Neymar aliyeingia kipindi cha pili akikwaana na mchezaji wa Levante.

Brcelona leo imefanya kufuru baada ya kuishushia kichapo cha bao 7-0 Levante katika mchezo wao wa kwanza wa La Liga uliopigwa kwenye Uwanja wa Camp Nou jijini Barcelona nchini Hispania. Mabao ya Barcelona yamewekwa kimiani na Sanchez dakika ya 3, Messi aliyefunga mabao mawili dakika ya 12 na 42 (penalti), Alves dakika ya  23, Pedro naye kafunga mabao mawili dakika ya 26 na 73 na  Xavi  aliyefunga dakika ya 45.
(PICHA: AFP, GETTY IMAGES)


Share:

0 comments:

Post a Comment

KUHUSU MMILIKI WA BLOG HII

My photo
Naitwa faraja Mmasa a.k.a Moa,Mkazi na mzaliwa wa Wilaya ya Gairo Morogoro.KARIBU KATIKA BLOG hii tuelimishane mambo mbalimbali.Inatupasa kuwa na ufahamu wa mambo mbalimbali ili tuweze kuyatawala Mazingira yetu .Kuwa na Mwanasheria au Mhasibu haimanishi unatikiwa kujua au kufuatilia maswala ya uhasibu na sheria tu.Mfano nyumba yako au ndoa yako hutaindesha kwa taaluma uliyonayo.Vile vile huwezi kuendesha ujasiliamali kwa mafanikio kwa shahada yako ya uhandisi.TUNAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA

UJUMBE WA LEO

MIUJIZA MINGI INAYOTOKEA KATIKA MAISHA IPO KATIKA MAWAZO,FIKRA,NA IMANI ALIYONAYO MWANADAMU HUSIKA

USIKOSE KIPINDI HOT JIJINI POWER CLUB ,SIBUKA REDIO 94.5 KILA SIKU SAA SABA MPAKA SAA KUMI

USIKOSE KIPINDI HOT JIJINI POWER CLUB ,SIBUKA REDIO 94.5 KILA SIKU SAA SABA MPAKA SAA KUMI

GAR AD2

GAR AD2

GARI ADVERT

GARI ADVERT

Castrol

Castrol
Powered by Blogger.