Sunday, August 23, 2020

MABADILIKO YA BLOG NA KUWA WEBSITE

Habari ndugu wasomaji wa BLOG hii, samahani kwa kutokuwa hewani muda mrefu, nafahamu blog hii inawasaidia watu wengi mno katika mambo mambo mbalimbali, pamoja na kutokuandika kitu chochote kwa zaidi ya miaka MITANO (5) sasa lakini katika muda wote huo nimeendelea kupokea simu na msg mbalimbali za watu kuomba ushauri katika mambo mbalimbali. Nilikuwa nimebanwa na majukumu mengine  lakini kuanzia muda sio mrefu baada ya maboresho tunayoyafanya kuibadilisha BLOG hii na kuwa WEBSITE tutaanza tena kupost mada mbalimbali ambayo imani yetu zitawasaidia kwa namna moja au nyingine katika kukabaliana na maisha yetu ya kila siku. Wasomaji wangu mmenishtua baada ya baadhi ya post kukuta zimesomwa na watu zaidi ya 10,000. WEBSITE pia tutaibadilisha JINA tutawafahamisha hapa.Ahsanteni sana sana 

Share:

0 comments:

Post a Comment

KUHUSU MMILIKI WA BLOG HII

My photo
Naitwa faraja Mmasa a.k.a Moa,Mkazi na mzaliwa wa Wilaya ya Gairo Morogoro.KARIBU KATIKA BLOG hii tuelimishane mambo mbalimbali.Inatupasa kuwa na ufahamu wa mambo mbalimbali ili tuweze kuyatawala Mazingira yetu .Kuwa na Mwanasheria au Mhasibu haimanishi unatikiwa kujua au kufuatilia maswala ya uhasibu na sheria tu.Mfano nyumba yako au ndoa yako hutaindesha kwa taaluma uliyonayo.Vile vile huwezi kuendesha ujasiliamali kwa mafanikio kwa shahada yako ya uhandisi.TUNAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA

UJUMBE WA LEO

MIUJIZA MINGI INAYOTOKEA KATIKA MAISHA IPO KATIKA MAWAZO,FIKRA,NA IMANI ALIYONAYO MWANADAMU HUSIKA

USIKOSE KIPINDI HOT JIJINI POWER CLUB ,SIBUKA REDIO 94.5 KILA SIKU SAA SABA MPAKA SAA KUMI

USIKOSE KIPINDI HOT JIJINI POWER CLUB ,SIBUKA REDIO 94.5 KILA SIKU SAA SABA MPAKA SAA KUMI

GAR AD2

GAR AD2

GARI ADVERT

GARI ADVERT

Castrol

Castrol
Powered by Blogger.