Sunday, August 23, 2020

MABADILIKO YA BLOG NA KUWA WEBSITE

Habari ndugu wasomaji wa BLOG hii, samahani kwa kutokuwa hewani muda mrefu, nafahamu blog hii inawasaidia watu wengi mno katika mambo mambo mbalimbali, pamoja na kutokuandika kitu chochote kwa zaidi ya miaka MITANO (5) sasa lakini katika muda wote huo nimeendelea kupokea simu na msg mbalimbali za watu kuomba ushauri katika mambo mbalimbali. Nilikuwa...
Share:

Monday, April 27, 2015

KABILIANA NA CHANGAMOTO KATIKA MAISHA,USIKATE TAMAA

KUNA wakati maisha yako yanaporomoka kutokana na kupatwa na misukosuko ya maisha kama vile kufiwa na mke, mume au mtoto wako, kusalitiwa na marafiki uliowategemea maishani mwako, kukimbiwa na mke au mume wako, kufilisika, kupoteza kazi uliyokuwa ukiitegemea, au daktari...
Share:

Saturday, March 28, 2015

Kiri Kosa, Jifunze, Jipe Nafasi Ya Kuanza Upya.

Katika safari ya maisha, ni jambo la kawaida kabisa kukutana na vikwazo vinavyoweza kukatisha tamaa. Ukubwa wa vikwazo au changamoto hizo, zinaweza kukusababishia ukaiona dunia kama imegeuka, au wakati mwingine ukatamani ipasuke uingie ndani yake.   Yapo mambo mengi yanayoweza kukufanya ufikirie hivyo. Huenda yakawa ni makosa ya kibinadamu,...
Share:

Thursday, October 16, 2014

hi!

Nimewamisi sana,very soon nitaanza kuandika tena makala mbalimbali,muda umekuwa ni kikwazo kikubwa.Mbarikiwe wapendwa,mungu awabariki katika kila mfanyanyo na mpangacho . Ahsanteni kwa kuendelea kusoma Blog hi...
Share:

Wednesday, May 7, 2014

NAMNA YA KUANDIKA MCHANGANUO WA BIASHARA

                       Mpango wa biashara unasaida kufanya uamuzi mbalimbali kusuhusu mwenendo mzima wa biashara, kupima mwelekeo na ukuaji wa biashara. Mchanganuo wa biashara ni andiko linalofafanua namna biashara inavyoweza kuanzishwa au kuendelezwa. Kitaalam, unatakiwa uwe na mpango...
Share:

24 Things To Always Remember

Your presence is a present to the world. You are unique and one of a kind. Your life can be what you want it to be. Take the days just one at a time. Count your blessings, not your troubles. You will make it through whatever comes along. Within you are so many answers. Understand, have courage, be stron...
Share:

Friday, May 2, 2014

JINSI YA KUISHI NA WATU

Habari za leo mfuatiaji wa blog hii.Naomba angalia video hii nahakika itakufundisha kitu kikubwa katika maisha yako. Wako Faraja Mm...
Share:

Thursday, May 1, 2014

MBINU ZA KUONGEZA MAUZO KATIKA BIASHARA YAKO.

Karibu katika blog hii ,natumaini u mzima wa afya njema maana mungu  wetu anaendelea kutupigania.Leo nilitaka kuongelea mada hii ya kuongeza mauzo katika biashara,kama tunavyojua moyo wa biashara ni mauzo,kama hakuna mauzo basi hakuna biashara.Kabla sijaanza kulielezea...
Share:

MBINU ZA KUPUNGUA UZITO

Inaonekana kuwa watu wengi hatujui ni kiasi gani cha kalori za chakula tunachotakiwa kula kwa siku. Kuna umuhimu mkubwa kufahamu kuwa, tunatakiwa kula kiasi cha kalori sawa na kalori zinazotumiwa na miili yetu ili kudhibiti uzito na kujiepusha na unene. Hata hivyo...
Share:

Monday, April 28, 2014

NJIA YA KUWEKA AKIBA NA KUONGEZA MTAJI KATIKA BIASHARA YAKO

Moja ya nguzo za mafanikio ya wajasiriamali ni elimu, ikwemo ya kuwaongezea upeo wa kutafuta mitaji. Ni ijumaa nyingine tunapokutana tena katika kona hii ya mjasiriamali, hii ni kona ambayo maudhui yake ni kuona namna bora ambazo wajasiriamali wanaweza kuzitumia ili kuanzisha na baadae kuendeleza biashara zao na kupata mafanikio wanayotamani. Makala...
Share:

MAMBO KUMI YA MSINGI YA KUFUATILIA UNAPOKUWA UNAJIANDAA NA MITIHANI

Habari za leo mfuatiliaji wa blog hii ya Faraja Mmasa Blog, natuamini ni mzima wa afya njema maana mungu wetu mpendwa anatupigania kila sekunde.Asante kwa kuwa mfuatiliaji wa mara kwa mara wa blog hii lakini pia nikupongeze kwa kuwa mfuatiaji wa mara kwa mara kwa kuwa...
Share:

Friday, April 25, 2014

NI MUHIMU KUZINGATIA UTUNZAJI WA VIFARANGA

Vifaranga wanapotunzwa vizuri kama hawa hukua vizuri na kuwa kuku wenye afya Kwa karne na miaka mingi, ufugaji wa kuku imekuwa ni kazi muhimu na inayokubalika katika jamii nyingi. Ni kazi isiyohitaji gharama kubwa sana, ambayo imekuwa na mafanikio kwa kiasi kikubwa kwa...
Share:

KUHUSU MMILIKI WA BLOG HII

My photo
Naitwa faraja Mmasa a.k.a Moa,Mkazi na mzaliwa wa Wilaya ya Gairo Morogoro.KARIBU KATIKA BLOG hii tuelimishane mambo mbalimbali.Inatupasa kuwa na ufahamu wa mambo mbalimbali ili tuweze kuyatawala Mazingira yetu .Kuwa na Mwanasheria au Mhasibu haimanishi unatikiwa kujua au kufuatilia maswala ya uhasibu na sheria tu.Mfano nyumba yako au ndoa yako hutaindesha kwa taaluma uliyonayo.Vile vile huwezi kuendesha ujasiliamali kwa mafanikio kwa shahada yako ya uhandisi.TUNAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA

UJUMBE WA LEO

MIUJIZA MINGI INAYOTOKEA KATIKA MAISHA IPO KATIKA MAWAZO,FIKRA,NA IMANI ALIYONAYO MWANADAMU HUSIKA

USIKOSE KIPINDI HOT JIJINI POWER CLUB ,SIBUKA REDIO 94.5 KILA SIKU SAA SABA MPAKA SAA KUMI

USIKOSE KIPINDI HOT JIJINI POWER CLUB ,SIBUKA REDIO 94.5 KILA SIKU SAA SABA MPAKA SAA KUMI

GAR AD2

GAR AD2

GARI ADVERT

GARI ADVERT

Castrol

Castrol
Powered by Blogger.